Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 1

$
0
0

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS IKULU NA UTAWALA BORA ZANZIBAR AWEKA JIWE LA MSINGI LA KITENGO KIPYA CHA UTIBABU WA UTI WA MGONGO NA UBONGO

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Mhe. Mwinyi Haji Makame akifungu pazia kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la kitengo cha matibabu ya Uti wa mgongo na Ubongo katika sherehe zilizofanyi Hospitali kuu ya Mnazi mmoja Mjini Zanzibar.
Jengo jipya la kitengo cha matibabu ya Uti wa mgongo na Ubongo linalojengwa kwa mashirikiano ya Serekali ya Spen na ya Zanzibar.
Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Mhe. Mwinyi Haji Makame akiwahutubia wageni mbalimbali katika sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la kitengo cha matibabu ya Uti wa mgongo na Ubongo huko Hospitali kuu ya Mnazi mmoja Mjini Zanzibar.
 Wageni mbalimbali kutoka tasisi za Serikali na madaktari wakimsikiliza mgeni rasmin Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Mhe. Mwinyi Haji Makame (hayupo pichani) alipokua akitoa nasaha mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika sherehe zilizofanyi Hospitali kuu ya Mnazi mmoja Mjini Zanzibar.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles