Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 0

$
0
0
MABANDA YA WAFANYABIASHARA NYUMA YA STENDI NJOMBE YAANZA KUBOMOLEWA
 Zoezi la Ubomoaji wa Mabanda Ukiendelea
 Na Gabriel Kilamlya Njombe

Hatimaye Serikali Mjini Njombe Imeanza Kutekeleza Zoezi la Ubomoaji wa

Mabanda ya Wafanyabiashara wa Vyakula na Nguo Aina ya Mitumba

Yaliyopo Nyuma ya Kituo cha Mabasi Mjini Njombe Katika Kuuweka Mji

wa Njombe Katika Hali ya Usafi na Usalama Zaidi.

Hatua Hiyo Imekuja Kufuatia Kituo Hiki Kufuatilia Kwa Ukaribu

Utekelezaji wa Zoezi Hilo Lililo Takiwa Kutekelezwa Tangu Mwezi

Novemba Mwaka Huu Jambo Ambalo Lilishindwa Kufanyika.

Akizungumza na

mtandao huu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Njombe

Bwana Edwin Mwanzinga Amesema Kuanza Kutekelezwa Kwa Zoezi Hilo

Iwe ni Muendelezo wa Kuhakikisha Eneo Hilo Linakuwa Safi na Hivyo

Ameutaka Uongozi wa Mtaa wa Gwivaha Mjini Njombe

Pamoja na Mambo Mengine Bwana Mwanzinga Amesema Kuwa Eneo Hilo

Kwa Akali Kubwa Lilikuwa Likitumika Kwa Mambo Ya Uhalifu Ikiwemo

Kutumika Katika Utumiaji wa Madawa ya Kulevya,Ulevi na Kutumia Kama

Vyoo.

Kwa Upande Wake Mwenyekiti wa Mtaa wa Gwivaha  Mjini Njombe Bwana

Nathanael Maxona Amesema Kuwa Ifikapo Disemba 19 Mwaka Huu Siku

ya Alhamisi Zoezi Hilo Litakuwa Limekamilika Kwa Kuyaondoa na

Kuyapanga Mabanda Hayo Kulinga na Biashara Wanazo Zifanya.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles