Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

ZANZIBAR YAJAA MAJI

$
0
0
 KUFUATIA mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbali mbali ya mji wa Zanzibar leo asubuhi Barabara nyingi zimejaa maji na kusababisha watumiaji kupata usumbufu kutokana na wasi wasi wa kuharibika kwa njia hizo pichani gari zikipita kwa tabu katika eneo la Mwanakwerekwe .(Picha na Haroub Hussein).
 Mabwawa kila pahala
 Hali ya mvua katika maeneo ya Jang'ombe Unguja leo.
 Maji kila kona

Biashara nyingi zimesimama

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles