Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276
↧

Article 4

$
0
0

MBUNGE FILIKUNJOMBE AWAWEZESHA MADEREVA BODA BODA 

 

 Viongozi mbali  mbali wa  chuo cha  Veta wakiongozwa  na mkurugenzi  wa kanda ya  nyanda  za  juu Veronica Mbele (wa tatu  kushoto ) wakiwa na mbunge wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe (wa nne kushoto) mara baada ya kuwatunuku vyeti na leseni  madereva  boda boda kata ya Mndindi Ludewa
 Madereva  boda  boda  kata ya Mndindi  Ludewa ambao  wamehitimu mafunzo ya udereva  yaliyoendeshwa na  Veta baada ya mbunge  wao Deo Filikunjombe  kuomba mafunzo hayo
 Mbunge  wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe  akiwahamasisha  madereva  kuanzisha  umoja  wao ambapo  yeye  atakuwa mlezi  wao
 Wahitimu wa mafunzo ya  udereva  wa  boda  boda na magari  kata ya  Madope  wakiwa  katika mapokezi  ya kumpokea  mgeni  rasmi mbunge wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe


 Madereva  wakila  kiapo cha  utii baada ya  kuhitimu mafunzo yao yaliyoendeshwa na Veta

 Mbunge  wa  jimbo la Ludewa Deo  Filikunjombe katikati akiwa na OCD  Ludewa na RTO Njombe pamoja na washitimu wa mafunzo ya  udereva  boda boda na magari

 Mbunge  wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe akimpongeza mwalimu mkuu  wa  shule ya msingi Luvuyo kata ya madope Bi Aprudensia Joseph Lugome  ambae amehitimu mafunzo ya muda  mfupi ya udereva  kupitia mpango  wa mbunge huyo  kuwasaidia madereva  hao  kupewa  mafunzo na VETA



Wananchi  wakiwa  wamejipanga  barabarani kumpokea mbunge wao Deo  Filikunjombe 

kwa hisani ya fg blogspot.com
↧

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Latest Images

Trending Articles