Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

KIVUKO CHA KIGAMBONI CHATEMBELEWA NA NAIBU WAZIRI WA UJENZI ENG.GERSON LWENGE LEO.

$
0
0

Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Gerson Lwenge(kushoto) akisikiliza taarifa kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya TAMESA ,Masel Magesa (kulia) wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea leo Kivuko cha Kigamboni kuangalia kuona mfumo mpya wa ukatishati tiketi. Kivuko hicho kinasafirisha zaidi ya watu 50 elfu kwa siku.


Mweka Hazina wa Kivuko cha Kigamboni Juliet Julius(kushoto) akimuonyesha Naibu Waziri wa Ujenzi ,Mhandisi Gerson Lwenge(mwenye suti) jinsi ya mfumo mpya wa ukatishaji wa tiketi katika Kivuko hicho leo jijini Dar es Salaam. Mfumo huo umeboresha ukataji wa tiketi naumesaidia kupunguza msongamano pamoja na kuongezeka kwa makusanyo kuliko awali .Pichani (alievaa gauni la kitenge) ni Mtendaji Mkuu waMamlaka ya TAMESA , Masel Magesa, (kulia) Mkuu wa Kivuko cha Kigamboni Charles Irege.

Mkuu wa Kivuko cha Kigamboni Charles Irege (mbele aliesimama kulia) akionyesha mfumo mzima mpya wa ukatishaji wa tiketi leo kwa Mh, Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Gerson Lwenge (kulia) pamoja na baadhi ya waandishi wa habari . Mfumo huo umepunguza msongamano kwa wanachi wanaotumia kivuko hicho na kufurahia huduma nzuri ziinazotolewa na serikali ya Tanzania.


Baadhi wa wananchi wakisubiri kivuko baada ya kukata tiketi zao. Leo jijini Dar es Salaam.Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Latest Images

Trending Articles