Kushoto ni Diwani wa Viti Maalumu Wa Tarafa ya Njombe Mjini Bi.Anjela Mwangeni Akiwa na Diwani wa Kata ya Yakobi Bi.Ester Mgeni Wakisani Kitabu Katika Ofisi za Mradi wa Maji Limage Wakati wa Wiki ya Maji
Eng.Tembo Ambaye ni Makandarasi wa Maji Katika Miradi ya Limage na Igominyi.
Mzee Maarufu Katika Kijiji cha Limage Akiishukuru Serikali Kwa Kuzindua Mradi wa Maji Wiki ya Maji Ambao Hadi sasa Hauja kamilika
Diwani wa Kata ya Yakobi Bi.Ester Mgeni Akiwa na Wananchi wake Katika Kijiji cha Limage Mara Baada ya Kuzinduliwa kwa Mradi wa Maji Uliotakiwa Kukamilika Mwezi Julai.
Na Gabriel Kilamlya Njombe.
Serikali Imekiri Kuwa Ukosefu wa Fedha Unaotokana na Mfumo wa Kimtandao[EPICA] Umeendelea Kuwa Kikwazo Katika Utekelezaji wa Miradi Mbalimbali ya Maendeleo Ikiwemo Mradi wa Maji wa Limage-Igominyi Uliozinduliwa Wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Maji Mwaka Huu.
Aidha Serikali Imesema Kuwa Inaendelea na Jitihada Mbalimbali Kuhakikisha Mradi Huo Unakamilika Kwa Wakati Ili Kuwawezesha Wananchi wa Vijiji Hivyo Kupata Huduma ya Maji Safi na Salama na Kuondokana na Kero Inayowakabili Kwasasa.
Mhandisi wa Maji Halmashauri ya Mji wa Njombe Bw Job Mwakasala Amesema Kuwa Awali Mradi Huo Ulitarajiwa Kukamilika Mwezi July Mwaka Huu Lakini Kutokana na
Matatizo ya Kifedha Yanayotokana na Mfumo wa Kimtandao[EPICA] Kwa Kushindwa Kufunguka Umeshindwa Kukamilika Kama Ilivyokusudiwa na Hivyo Kulazimika Kuongeza Muda wa Siku 45 Ili Kuweza Kukamilisha Mradi Huo.
Amesema Pamoja na Upungufu Huo wa Fedha Bado Wamefanikiwa Kumlipa Mkandarasi Kwa Malipo ya Awali na Hivyo Wamekusudia Kuhakikisha Wanakamilisha Malipo ya Awamu ya Pili Ili Kumuwezesha Kuendelea na Ujenzi na Kukamilisha Mradi Huo.
Ameongeza Kuwa Kwasasa Wanaendelea na Kazi ya Kupitia Vyanzo Vya Maji na Kusafisha Matanki Ili Yaweze Kutumika Katika Usambazaji wa Maji na Kuongeza Kuwa Huduma ya Maji Kwasasa Itaendelea Kupatikana Kupitia Mabomba Yaliopo Katika Vijiji Hivyo.
Hata Hivyo Amesema Mradi Huo Unatarajiwa Kukamilika Agost 20 Mwaka Huu na Hivyo Amewataka Wananchi Kuhakikisha Wanaitunza Miundombinu Yake na Kuchangia Mradi Huo Ili Uweze Kuwa Endelevu.
Eng.Tembo Ambaye ni Makandarasi wa Maji Katika Miradi ya Limage na Igominyi.
Mzee Maarufu Katika Kijiji cha Limage Akiishukuru Serikali Kwa Kuzindua Mradi wa Maji Wiki ya Maji Ambao Hadi sasa Hauja kamilika
Diwani wa Kata ya Yakobi Bi.Ester Mgeni Akiwa na Wananchi wake Katika Kijiji cha Limage Mara Baada ya Kuzinduliwa kwa Mradi wa Maji Uliotakiwa Kukamilika Mwezi Julai.
Na Gabriel Kilamlya Njombe.
Serikali Imekiri Kuwa Ukosefu wa Fedha Unaotokana na Mfumo wa Kimtandao[EPICA] Umeendelea Kuwa Kikwazo Katika Utekelezaji wa Miradi Mbalimbali ya Maendeleo Ikiwemo Mradi wa Maji wa Limage-Igominyi Uliozinduliwa Wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Maji Mwaka Huu.
Aidha Serikali Imesema Kuwa Inaendelea na Jitihada Mbalimbali Kuhakikisha Mradi Huo Unakamilika Kwa Wakati Ili Kuwawezesha Wananchi wa Vijiji Hivyo Kupata Huduma ya Maji Safi na Salama na Kuondokana na Kero Inayowakabili Kwasasa.
Mhandisi wa Maji Halmashauri ya Mji wa Njombe Bw Job Mwakasala Amesema Kuwa Awali Mradi Huo Ulitarajiwa Kukamilika Mwezi July Mwaka Huu Lakini Kutokana na
Matatizo ya Kifedha Yanayotokana na Mfumo wa Kimtandao[EPICA] Kwa Kushindwa Kufunguka Umeshindwa Kukamilika Kama Ilivyokusudiwa na Hivyo Kulazimika Kuongeza Muda wa Siku 45 Ili Kuweza Kukamilisha Mradi Huo.
Amesema Pamoja na Upungufu Huo wa Fedha Bado Wamefanikiwa Kumlipa Mkandarasi Kwa Malipo ya Awali na Hivyo Wamekusudia Kuhakikisha Wanakamilisha Malipo ya Awamu ya Pili Ili Kumuwezesha Kuendelea na Ujenzi na Kukamilisha Mradi Huo.
Ameongeza Kuwa Kwasasa Wanaendelea na Kazi ya Kupitia Vyanzo Vya Maji na Kusafisha Matanki Ili Yaweze Kutumika Katika Usambazaji wa Maji na Kuongeza Kuwa Huduma ya Maji Kwasasa Itaendelea Kupatikana Kupitia Mabomba Yaliopo Katika Vijiji Hivyo.
Hata Hivyo Amesema Mradi Huo Unatarajiwa Kukamilika Agost 20 Mwaka Huu na Hivyo Amewataka Wananchi Kuhakikisha Wanaitunza Miundombinu Yake na Kuchangia Mradi Huo Ili Uweze Kuwa Endelevu.