Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI-DODOMA.

$
0
0
F1Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai (kushoto), Mbunge wa Jimbo la Busega Dkt. Raphael Chegeni(katikati) na Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete (kulia) akibadilishana mawazo mara baada ya mapumziko ya mchana jana mjini Dodoma.
F2Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai (kushoto)  wakibadilishana mawazo na  Mbunge wa Jimbo la Busega Dkt. Raphael Chegeni(kulia)  mara baada ya mapumziko ya mchana jana mjini Dodoma
F4Mbunge wa Jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa(kulia) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari(katikati)  na Mbeya Mjini Mhe. Joseph  Mbilinyi(kulia) mara baada ya mapumziko ya mchana ya wabunge mjini Dodoma.
F5Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhomgo(katikati) akibadilishana mawazo jana mjini Dodoma na baadhi ya wananchi na wabunge waliofika Bunge waliofika leo mjini Dodoma kusikiliza hotuba ya makadirio ya matumizi ya fedha ya Wizara yake kwa mwaka ujao wa fedha.
Picha na Tiganya Vincent, Dodoma.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles