Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 0

$
0
0

  MAKAMU WA RAIS AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA  

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mkuu wa Mkoa wa kigoma Mhe. Issa Machibya kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma baada ya kukamilisha ziara ya siku moja Mkoani humo leo. 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Viongozi wa Dini na Viongozi wa Mkoa wa Kigoma wakati alipofanya ziara ya siku moja Mkoani humo leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na wananchi na Viongozi wa Mkoa wa kigoma kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma baada ya kukamilisha ziara ya siku moja Mkoani humo leo.(Picha na OMR)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles