Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA LUPEMBE TWILUMBA WAPALILA KUZIKWA KESHO IGOMBOLA LUPEMBE

$
0
0

Diwani aliyesimama Bi. Twilumba Wapalila  enzi za uhai wake akiendelea na majukumu yake kama mwakilishi wa wananchi.  Diwani wa kata ya Lupembe wilayani Njombe Bi Twilumba Wapalila, amefairiki dunia usiku wa kuamkia Julai 9 Mwaka huu jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu kwa ugonjwa wa vidonda vya tumbo


Katikati ni Marehemu Twilumba Wapalila Enzi za Uhai wake 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles