WATU WAWILI MBARONI KWA TUHUMA ZA KULIPUA BOMU NA KUJERUHI NANE JIJINI ARUSHA
mmoja wa mtu alielipuliwa na bomu katika mgahawa wa
Traditional Indian Cusine aliyejukilana kwa jina la Deepak Gupta (25)
akiwa amelazwa katika hospitali ya seliani ndani ya chumba cha
mahututi (ICU) mara baada ya kukatwa mguu wake mmoja wa kushoto
kutokana na mguu huo kuumizwa sana na bomu hilo.
Traditional Indian Cusine aliyejukilana kwa jina la Deepak Gupta (25)
akiwa amelazwa katika hospitali ya seliani ndani ya chumba cha
mahututi (ICU) mara baada ya kukatwa mguu wake mmoja wa kushoto
kutokana na mguu huo kuumizwa sana na bomu hilo.
Mtoto Manci Gupta akiwa amelala anasikilizia maumivu ya miguu aliyoumia mara baada ya kulipukiwa na bomu yeye na familia yao wakati wameenda kupata chakula cha usiku katika mgahawa huo
mama Munisha Gupta (42) pamoja na mme wake Mahush
Gupta (42) akiwa wameegemeana wote wamezurika katika mlipuko wa bomu hilo wakati wameenda kupata chakula cha usiku
Gupta (42) akiwa wameegemeana wote wamezurika katika mlipuko wa bomu hilo wakati wameenda kupata chakula cha usiku
picha ikionyesha askari wa jeshi la wananchi kitengo cha mabom wakiwa
katika eneo la tukio ambalo bumu lilirushwa ndani ya mgahawa wa
ujulikanao kwa jina la Traditional Indian Cusine ulipo pembeni ya
hotel ya gmkana.
katika eneo la tukio ambalo bumu lilirushwa ndani ya mgahawa wa
ujulikanao kwa jina la Traditional Indian Cusine ulipo pembeni ya
hotel ya gmkana.
muonekano wa eneo la tukio.
SEHEMU ambayo inasemekana bomu lilitua mara baada ya kutupwa.