Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all 2276 articles
Browse latest View live

Article 1

$
0
0




Mbunge  Filikunjembe na Mafulu  wakipongezwa  kwa  kuteuliwa  walezi wa UWT  Njombe

Dr Suzana  Kolimba wa  tatu kushoto  akipongezwa kwa mchango  wake  UWT
walezi  wa UWT  mkoa  wa NJombe mbunge wa  Ludewa  Deo  Filikunjombe ( kulia ) na mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Lediana Mafulu wakipongezana kwa kuteuliwa  kuwa  walezi wa UWT mkoa wa Njombe

Mbali ya  Filikunjombe  kuendesha  harambee  hiyo  kwa  yeye  mwenyewe  kuchangia  milioni 10 kwa  ajili ya kuchangia  ununuzi wa gari hilo pia  mjumbe  wa bunge la katiba  ambae ni mchumi  wa   UWT mkoa wa  Njombe Dr  Suzana Kolimba alichangia  kiasi  cha Tsh milioni 5  katika  harambee  hiyo.
“Nilipopokea taarifa za kuteuliwa na Jumuiya yenu kuwa Mlezi, kwanza nilishituka, msituko nilioupata haukuwa wa kuogopa majukumu bali ulikuwa ni mshituko wa tafakuli niliyoifanya juu ya uzito na hadhi ya nafasi hii ya Ulezi, maana sisi sote tunaonekana katika sura ya Uongozi wa Taifa na dunia tumezaliwa na wanawake na asilimia kama 99% tumelelewa na wanawake. Kwa hiyo swali gumu nililokuwa najiuliza ni
namna gani ninaweza kuwalea watu wenye uzoefu mkubwa wa kulea watu kuanzia mimba, kuja mtoto hadi kufikia hatua akaweza kuwa rais au Waziri. Uzoefu huo wanao akina mama tena chini ya uangalizi na uvumilivu mkubwa. “
 Filikunjombe  alisema  kuwa anatambua vema nafasi na wajibu wa akina mama katika ujenzi wa CCM Imara, kama vile historia ya nchi yetu tokea Uhuru ilivyoainisha mchango mkubwa wa akina mama wakati wa kutafuta Uhuru wa nchi yetu, michango kama ya akina Bibi Titi Mohamed wakati wa harakati za Chama cha TANU kutafuta Uhuru wa Tanganyika. 
“Zaidi ya hilo taarifa za kiutafiti zinaonyesha kuwa kura nyingi za ushindi za CCM tokea tulipoingia kwenye mfumo wa Vyama vingi mwaka 1992  ni za Wanawake, maana  wanawake wanamsimamo, hawayumbi na wanajua wao ni Waathirika wa kwanza nchi inapoingia kwenye machafuko. “
Hata   hivyo  alisema kuwa moja  kati  ya  mkakati  wake kama  mlezi  wa  UWT  mkoa  wa  Njombe ni  kuona  mkoa  hao  unakuwa mkoa wa  pekee  kwa kutoruhusu  upinzani  kuchukua  nafasi
“ Kazi  yangu kama  mlezi  ni  kuhakikisha  naitumikia  vema  nafasi  hii na  kuhakikisha  kupitia  jumuiya  hii  mbengu mbovu ya  upinzani  ambayo  imejipachika katika  mkoa  wetu  inaondoka  haraka  iwezekanavyo na mwaka  2015  mkoa  wa  Njombe  wote  unakuwa na  wa CCM.
Huku  mchumi  wa  wilaya  hiyo  Dr  Suzana  Kolimba  mbali ya  kuchangia  kiasi  hicho  cha Tsh  milioni 5 kwa ajili ya  kuunga mkono  jitihada za  mlezi  Filikunjombe pia  alisema  kuwa  lengo lake kama mchumi  ni kuona mkoa  huo wa  Njombe  hasa  wanawake  wanaendelea  kuwa na uchumi imara .
Kwa  upande  wake  mlezi Mafulu  pamoja na kuipongeza  jumuiya  hiyo ya UWT kwa  kumteua  Filikunjombe nay eye  kuwa  mlezi  alisema kuwa  bado jumuiya  hiyo haikukosea   kuwateua  kwani  wao ni  miongoni mwa  watendaji  wazuri katika chama  hicho.



Mbunge wa Mwibala Kangi Lugola




Article 0

$
0
0

MWANAFUNZI  TOKA NABOTI SEC MAKAMBAKO NJOMBE TANZANIA AIBUKA MSHINDI WA KWANZA TUZO YA INSHA SADC.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha nne Neema Steven Mtwanga(16) anayesoma katika shule ya sekondari Naboti Makambako,Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika utunzi wa insha katika shindano lililoandaliwa na Jumuiya ya uchumi ya maendeleo kusini mwa Afrika(SADC).Rais Kikwete alimpongeza mwanafunzi huyo wakati wa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC unaofanyika katika mji wa kitalii wa Victoria Falls, nchini Zimbabwe ambapo mwanafunzi huyo aliandika insha inayohusu mabadiliko ya tabia nchi.

 
 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete(kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wakuu na wawakilishi wa nchi za Jumuiya ya uchumi kusini mwa Afrika SADC muda mfupi baada ya ufunguzi wa mkutano wa 34 wa jumuiya hiyo uliofanyika katika hoteli ya Elephant Hills mjini Victoria Falls Zimbabwe leo.Katikati ji mwenyeji wa Mkutano huo Rais Robert Mugabe na mkewe Grace Mugabe(picha na Freddy Maro)

TANGAZO MAALUMU.

Article 0

$
0
0
 Ofisi za Uhamiaji Mkoa wa Njombe

 Wahamiaji Haramu Toka Nchini Ethiopia Wakiwa Katika Ofisi za Uhamiaji Mjini Makambako Kwa Mahojiano Leo

Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoani Njombe Bi. Rose Mhagama.
 
 Na Gabriel Kilamlya Njombe

 Idara ya Uhamiaji Mkoani Njombe Hii Leo Imewarejesha Nchini Kwao Raia 21 wa  Ethiopia Waliokamatwa Agosti 14 Mwaka Huu Mjini Makambako Kwa Tuhuma za Kuingia Nchini Kinyume cha Sheria Pasipo Kuwafikisha Mahakamani.

Akizungumza na www.gabrielkilamlya.blogspot.com Ofisini Kwake Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoani Njombe Bi. Rose Mhagama Amesema Wameamua Kuwarejesha Kwao Raia Hao Pasipo Kuwafikisha Mahakamani Kwa Kuzingatia Vigezo Mbalimbali Ikiwemo Kupunguza Gharama za Kuwatunza Waethiopia Hao


Naibu Kamishina Huyo wa Uhamiaji Amesema Mara Baada ya Kukamilika Kwa Kuwarejesha Raia Hao Wamiliki wa Gari Lililotumika Kuwasafirisha Waethiopia Hao Ambao ni Kampuni ya Evelest ya Jijini Dar Es Salaam Watachukuliwa Hatua za Kisheria.

Aidha Bi. Mhagama Amesema Kuwa Licha ya Kuwa Jukumu la Kudhibiti Uingiaji wa Raia wa Kigeni Kinyume cha Sheria ni la Serikali Lakini, Naibu Kamishina Huyo wa Uhamiaji Amewaomba Wananchi Kuendelea Kushirikiana na Vyombo Vya Sheria Kuwabaini Watu Wanaojihusisha na

Matukio ya Kuwafarisha Raia Hao.

Raia Hao 21 wa Ethiopia Walikamatwa Agosti 14 Katika Halmashauri ya Mji wa Makambako Ikiwa ni Sehemu ya Raia 46 Waliokamatwa Mkaoni Njombe Tangu Mwezi Disemba MWaka Jana Hadi Sasa Huku Idadi Kubwa ya Raia Hao ni Kutoka Nchi ya Ethiopia Wakiwa na Lengo la Kufika Nchi za Afrika Kusini na Malawi.

//kilamlya1.rssing.com/chan-14218227/article1125-live.html

$
0
0
AJALI YA MABASI KUGONGANA USO KWA USO WILAYANI SIKONGE TABORA IMEUWA 16 PAPO HAPO NA WENGINE 75 KUJERUHIWA
 
 
Watu  16  wanadaiwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa  baada ya mabasi waliokuwa wakisafiria kugongana katka k ijiji  cha Mlogolo wilayani Sikonge mkoani Tabora.
 
Ajali hiyo imetokea Jana  jioni majira ya saa 11 jioni baada ya Basi la Kampuni ya Sabena lenye namba za usajiri T 110 ARV lililokuwa likitokea Mbeya kwenda  Mwanza kumegongana uso kwa uso na basi la AM Dreamline lenye namba za usajiri  T 803 ATN lililokuwa likitokea Mwanza kupitia Mpanda.

Ajali hiyo imetokea maeneo ya Mlogolo takribani kilometa 3 kutoka wilayani   Sikonge.Pia inadaiwa kuwa dereva wa basi la Sabena aliyefahamika kwa jina la James Kombe amepoteza maisha baada ya kukatika kiwiliwili na kufa papohapo a kuwa jitihada za kutafuta kiwiliwili chake zilikuwa zikifanyika baada ya kupondeka vibaya.
 
Mashuhuda wa ajali hiyo wamedai kuwa chanzo cha ajali hiyo ni madereva hao kuwa ni wasaidizi ( Day-worker).Inakadiriwa kuwa karibu robo tatu ya basi la sabena imeharibiwa vibaya sana.Mabasi yaliyohusisha ajali hiyo ni basi la  Sabena lililokuokea  Mbeya kwenda -Mwanza na AM Dreamline lililokuokea  Mwanza kwenda Mpanda.

Article 0

$
0
0

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE Wajadili Taarifa ya CAG


Mweka Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Bi.Rhoda Mahava.



MADIWANI WA HALMASHAURI WAKIJADILI MADA MBALIMBALI ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KATIKA KATA ZAO
JULIUS SALINGWA NI DIWANI WA KATA YA KIDEGEMBYE AKIZUNGUMZA
MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE PAUL MALALA AKISOMA MUHTASARI WA MKUTANO ULIOPITA

MAKAMU MWENEYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE AKITETA NA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE




PIKIPIKI ZILIZOKABIDHIWA KWA KATA MBILI MTWANGO NA MATEMBWE  ZILIZOTOLEWA NA SHILIKA LA TASSF KAMA ZAWADI KWA USHINDI WA USAFI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA



Na Gabriel Kilamlya Njombe

Licha ya Jitihada Kubwa Zilizofanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Njombe za Kuongeza Ajira Kwa Watumishi Wapya Mara Baada ya Kupata Kibali Cha Ajira na Kufanikiwa Kuajiri Watumishi 177 Kwa Mwaka 2013/2014 Lakini Bado Inakabiliwa na Upungufu wa Watumishi 156.

Kutokana na Hali Hiyo Halmashauri Hiyo Imeendelea Kujiwekea Mkakati wa Kufuatilia Vibali Vya Ajira za Watumishi Wengine Ili Ifikapo Disemba 31 Mwaka Huu Suala Hilo Liwe Limefanikiwa.

Akitoa Taarifa Kwa Niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Kwenye Kikao Maalumu cha Madiwani Cha Kujadili Taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Mweka Hazina wa Halmashauri Hiyo Bi.Rhoda Mahava Amesema Kuwa Halmashauri Hiyo Imelazimika Kuajiri Watumishi Wapya wa Sekta Mbalimbali Baada ya Kupewa Kibali na Menejimenti ya Utumishi wa Umma.

Bi.Mahava Amesema Kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Ilipaswa Kuwa na Watumishi 2107 Ili Kukidhi Matakwa ya Upungufu wa Watumishi Katika Halmashauri Lakini Baada ya Taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Kubaini Tatizo Hilo Iliagiza Kutolewa Kwa Ajira Kwa Watumishi Hao Jambo Ambalo Hadi Sasa Imekwisha Ajira Jumla ya Watumishi Hao 177 Kati ya 333 Waliotakiwa Kuongezwa.

Pamoja na Mambo Mengine Halmashauri Hiyo Imerejesha Hazina Kuu Zaidi ya  Shilingi Milioni 50 Fedha Ambazo Hazikutumika Kama Mishahara ya Watumishi Mbalimbali Wakiwemo Waliostaafu,Watoro,Waliofariki na Walioacha Kazi Jambo Ambalo ni Kinyume Cha Sheria ya Usimamizi wa Fedha za Serikali za Mitaa ya Mwaka 2009.

Akijibu Baadhi ya Maswali ya Madiwani Katika Kikao Hicho Waliotaka Kujua Hatua Zinazochukuliwa Dhidi ya Ubadhilifu Unaotokana na Uzembe wa Baadhi ya Watumishi Serikali Mkaguzi Huyo Amesema Kwa Kawaida Taarifa Zinawasilishwa Bungeni Kwa Majadiliano Ambako Ndiko Hatua Zaidi Huchukuliwa na Wabunge Kutoa Maagizo Kwa Serikali.

Article 5

$
0
0

Tanzania BADO INAKABILIWA NA TATIZO KUBWA LA MADAWATI


Meneja Habari, Elimu na Mawasiliano toka Mamlaka ya Elimu Tanzania Bi Sylvia Lupembe akiongea na waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu jitihada wanazofanya kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ili kukabiliana na changamoto katika sekta ya elimu,wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa kitengo cha Masoko na Uhusiano toka benki ya KCB Bi. Christina Manyenye.



Meneja Sheria na Uhusiano toka kampuni ya uuzaji na usambazaji wa mafuta ya TOTAL Bi. Masha Msuya Akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu mpango wao wa kutoa zaidi ya madawati 1000 kwa kushirikiana na wadau wengine , mpango huu utaanza kutekelezwa kwa kuanzia na mkoa wa Dar es Salaam.kulia ni Mkuu wa kitengo cha Masoko na Uhusiano toka benki ya KCB Bi. Christina Manyenye.



Mkuu wa kitengo cha Masoko na Uhusiano toka benki ya KCB Bi. Christina Manyenye akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) mipango waliyoiweka kwa kushirikiana na Mamlaka ya Elimu Tanzania katika kuendeleza na kuinua sekta ya
Nchini.kushoto ni Meneja Sheria na Uhusiano toka kampuni ya uuzaji na usambazaji wa mafuta ya TOTAL Bi. Masha Msuya.
Afisa Rasilimali Fedha toka taasisi isiyo ya kiserikali ya Social Action Trust Fund (SATF) Bw. Timotheo Tenga akiwaeleza jambo waandishi wa habari( hawapo pichani) wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja Sheria na Uhusiano toka kampuni ya uuzaji na usambazaji wa mafuta ya TOTAL Bi. Masha Msuya



Msingi 10 zilizopo jijini Dara es salaam katika kukabiliana na .
“Wanafunzi zaidi ya 6000 watanufaika na madawati hayo ambayo yatagharimu zaidi ya shilingi Milioni Mia Moja na Hamsini (150,000)” alisema Lupembe.
Akifafanua Bi Lupembe amesema shule zitakazonufaika ni Chamazi, Mbande, Boko NHC, King’ong’o, Hekima, Bwawani, Bunju, Goba, Kombo na Kingugi.
Katika kuhamasisha wadau wengine kushiriki kwenye mchakato wa kuchangia madawati Bi Lupembe amesema kuwa Mamlaka ya Elimu Tanzania imezingatia rai iliyotolewa na Waziri Mkuu ikielekeza kuwa tatizo la madawati katika shule za msingi limalizike ifikapo mwezi Juni, 2015 kwa kulipa kipaumbele suala hilo.
Pia Bi Lupembe alibainisha kuwa tathmini ya mwaka 2013 Tanzania ina upungufu wa madawati 1,147,471 hivyo ni jukumu la kila mdau kuunga mkono juhudi hizo ili kuondoa tatizo hilo kote nchini.
Naye Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB Bi Christina Manyenye amesema wamekuwa wakishiriki katika kuchangia madawati ambapo kwa mwaka jana walichangia zaidi ya madawati 700.
“Tutaendelea kusaidia huduma za jamii katika maeneo mablimbali kama tunavyofanya katika sekta ya Elimu” alisisitiza Manyenye
Mamlaka ya Elimu Tanzania kwa kushirikiana na Kampuni ya Mafuta ya TOTAL na wadau wengine kama Kenya Commercial Bank (KCB), na Social Action Fund wamekuwa katika ushirikiano tangu mwaka 2013 katika kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya Elimu hapa nchini ikiwemo ya upungufu wa madawati.

na fredy mgunda

Mh. Kigoda afungua maonyesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini China leo jijini Dar

$
0
0
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdalah Kigoda na Balozi wa China Nchini Dkt. Lu Youqing wakikata utepe kuashiria ufunguzi wa maonyesho ya siku nne ya bidhaa zinazotengenezwa nchini China.
Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Shenzhen Yingli New Energy Resources Honglin Hui (Kulia) akimueleza Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdalah Kigoda (kushoto) jinsi Solar Panel inayotengenezwa na kampuni hiyo inavyofanya kazi wakati wa maonyesho ya bidhaa zinazotengenezwa nchini China yaliyofunguliwa leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee uliopo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdalah Kigoda akiangalia pikipiki aina ya SWAN inayotengenezwa na kampuni ya Honda ambayo inayotumia mafuta ya Petrol na Umeme wakati wa maonyesho ya bidhaa zinazotengenezwa nchini China. Kulia kwake ni Balozi wa China nchini Dkt. Lu Youqing na kushoto ni Juwes Wang ambaye ni mfanyakazi wa kampuni hiyo.


Article 3

$
0
0

JUMUIYA YA MRADI WA UMEME LUMAMA YAKABIDHIWA MRADI WA UMEME NA SHIRIKA LA ACRA MKOANI NJOMBE

 MGENI RASMI ERNEST MKONGO KWA NIABA YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE KEPTAIN MSTAAFU ASERI MSANGI



 WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MAPOGORO WILAYANI LUDEWA



 BURUDANI YA VIKUNDI MBALIMBALI VYA NGOMA NA KWAYA VIKITUMBUIZA

 BEPPE BUSCEGHE ACRA PROJECT MENEJA AKITOA HOTUBA YAKE YA UTEKELEZAJI WA MRADI HUO KABLA YA KUKABIDHI
 WANANCHI WA KATA TATU ZA LUDEWA MLANGALI,MAWENGI NA MILO
 KATIBU WA JUMUIYA YA UMEME-LUMAMA PHILBERT L.KAYOMBO AKITOA NASAHA KIDOGO BAADA YA KUKABIDHIWA

 MWENYEKITI WA KIJIJI CHA MAPOGORO BWANA HERMAN LUBEN MCHIRO AKIFUNGUA MKUTANO

 KAIMU MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA HORACE  W. KORIMBA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI JUU YA KUUTUNZA MRADI HUO USISIMAME  NA KUHARIBIWA MIUNDOMBINU YAKE
 MENEJA KAMPUNI YA TANWAT KIMASA SHEJA AKIIWAKILISHA KAMPUNI YA TANWAT INAYOHUSIKA NA UPANDAJI MITI NA UTUNZAJI MAZINGIRA

 KATIBU TAWALA WILAYA YA LUDEWA STEPHAN A.ULAYA

 KIKUNDI CHA NGOMA YA MTULI MAPOGORO NA MAWENGI



 HAWA NI WANANCHI WA KATA TATU ZINAZONUFAIKA NA MRADI HUO WA UMEME LUMAMA
 MENEJA CRDB  MKOA WA NJOMBE WA KATIKATI AKIWA NA WENZAKE WAKATI WA KUKABIDHI MRADI HUO


 DIWANI WA KATA YA MILO BWANA DAUD THOMAS MWAFYUMAH
 ACRA PROJECT MENEJA BWANA BEPPE BUSCEGHE KUTOKA NCHINI ITALI
 WITGAL NKONDOLA  AFISA WA MAJI  BONDE LA ZIWA NYASA  LA TUKUYU-MBEYA

 MENEJA CRDB MKOA WA NJOMBE




 FURAHA KUBWA KWA WANANCHI KWA KUPATA MRADI HUO


Shirika  lisilo la kiserikali la ACRA Mkoa wa Njombe jana limekabidhi mradi wa umeme kwa Bodi ya Jumuiya ya mradi wa umeme Lumama Wenye thamani ya shilingi bilioni sita unaozalisha kilowati mia tatu za umeme.

Mradi huo wa umeme ulioanza kutekelezwa na shilika hilo la ACRA tangu mwaka 2006 unahudumia vijiji nane vya kata tatu za Mlangali,Milo na Mawengi Wilayani Ludewa tayari umeanza kuwanufaisha wananchi wa kata hizo  Ambao wamekwisha kuingiziwa kwenye nyumba zao,Viwanda na zahanati.


Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa mkoa wa Njombe Keptain Mstaafu Aseri Msangi baada ya kupokea mradi huo,Kaimu Mkuu wa mkoa wa Njombe Ernest Mkongo amewataka wananchi kutunza vyanzo vya maji na mazingira ili kutililisha maji kwa wingi na  kuongeza kilowati za umeme kutoka kilowati mia tatu na kufikia kiwango cha mega wati na wananchi wa vijiji vingine wanufaike.

Aidha bwana Mkongo amewataka wananchi kwa kushirikiana na viongozi wa vijiji,kata na Jumuiya ya mradi huo wa umeme  Lumama kuhakikisha wanatoa taarifa sehemu husika juu ya wanaosababisha uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji kwa kuchoma moto na kulima kwenye vyanzo hivyo ili maji yasipungue kwenye vyanzo vyake.

Awali akikabidhi mradi wa umeme Lumama Meneja wa mradi huo kutoka Shirika la Acra bwana Beppe Busceghe amewataka wananchi wa kata hizo tatu za Mlangali,Milo na Mawengi Wilayani Ludewa kutunza miundombinu ya umeme na vyanzo vya maji ili udumu kwa muda mrefu.

Bwana Busceghe amesema kwa kipindi ambacho mradi huo umekuwa katika hatua za utekelezaji, mwaka 2006 mto Kasongo ambao unazalisha umeme huo  ulikuwa nauwezo wa kutiririsha lita mia sita kwa sekunde Ambapo kwa sasa kiwango kimepungua na kufikia lita mia tatu kwa sekunde.

Amesema pia wamefanikiwa kutekeleza miradi mingine ikiwemo elimu kwa kujenga na kukarabati madarasa katika shule za msingi,kuchimba visima,ujenzi wa vyoo,kuingiza umeme kwenye taasisi za serikali ikiwemo zahanati,mafunzo kwa baadhi ya walimu,kujenga majiko ya kisasa kwaajili ya shule za msingi,pamoja na kugawa  vitabu na mahitaji mengine wameweza kuyafanya.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Ludewa bwana Horacy Kolimba ameahidi kusimamia utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji na kuwataka wenyeviti,watendaji na madiwani wa kata kuhakikisha wanasimamia na kuchukua hatua kwa atakaye kiuka agizo la serikali.

Katibu wa jumuiya ya mradi wa umeme Lumama bwana Philibet Kayombo amesema jumuiya hiyo itahakikisha mradi huo hausimami na kusema kuwa shirika la ACRA pamoja na kutekeleza mradi wa umeme lakini wamesaidia kuwapeleka walimu chuo cha klelu kwaajili ya mafunzo na kutoa mahitaji mbalimbali ikiwemo kompyuta arobaini katika shule za sekondari na kutekeleza miradi ya maji.

Mradi wa umeme  Lumama unazalishwa kwenye chanzo cha Mto Kasongo  Wilayani Ludewa ambapo nao wananchi wakatoa maoni yao kuhusu mradi huo kwa kutaka jumuiya ya umeme lumama kupeleka ankra za umeme karibu nao ili kupunguza kusafiri umbali mrefu kuliko kwenda kulipia kata ya mawengi ambako ni gharama zaidi.


Kwa hisani ya michaelngilangwa blog

Article 2

$
0
0

ALBINO WATAKIWA KUSHIRIKIANA KWA KARIBU NA JESHI LA POLISI ILI KUIMARISHA USALAMA WAO

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewashauri albino wanaoishi Jijini Dar es Salaam kuwa karibu sana na Jeshi hilo ili kurahisisha mawasiliano kati yao na Wakuu wa vituo vya Polisi vilivyo karibu na makazi yao au wanapofanyia usalama wao jijini Dar es Salaam.

Pamoja na kwamba haijawahi kutoa tukio lolote dhidi ya Albino jijini Dar es Salaam kutokana na uhusiano uliopo lakini kwa sasa waongeze mawasiliano na Jeshi la Polisi kutokana na taarifa za uhalifu dhidi ya Albino katika baadhi ya mikoa hapa nchini.

Pia Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam SULEIMAN KOVA ameongea na Albino hao ofisini kwake na kuwaambia kwamba Jeshi la Polisi kwa ujumla linaendelea na jitihada kubwa sana kupambana na maadui wa Albino ambao ni wahalifu na wengi wao wameishakamatwa na kufikishwa mahakamani ambapo wengine wameishahukumiwa.
Albino wanatakiwa kuonyesha ushirikiano wa hali ya juu na Jeshi la Polisi hata kama hakuna tishio la aina yoyote wanalolijua katika maeneo yao ya makazi au wanapofanya shughuli zao za kikazi.
Katika kufanikisha zoezi hilo la mawasiliano ya haraka na Jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi Kanda Malum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na wadau kampuni ya SAPNA ELECTRONIC ametoa simu 20 kwa Albino ambao wameudhuria kikao ili iwe rahisi kwao kuwasiliana Jeshi la Polisi kwa namba 0787-668306 ambayo ipo katika chumba
cha dharura katika Kikosi cha 999.


Kamishna Kova anaendelea kuongea na wadau  mbali mbali ili misaada zaidi ipatikane kwa walemavu wa ngozi ambao ni Albino ili waweze kupata simu za mikononi, mafuta maalum ya kupaka ngozi zao na msaada
mwingine wowote ambao utafaa kwa Albino hao kupitia kwa namba 0715 – 009983 hii ni namba ya Kamishna mwenyewe ya oisi na namba nyingine ya Msaidizi wake katika suala la kuwasaidia Albino ni 0756-710179 ambayo ni ya SP. MOSES NECKEMIAH

FUNDI.



Aidha zipo jitihada za makusudi zinazofanyika kati ya Polisi Kanda Maalum ya
Polisi Dar es Salaam na uongozi wa Mkoa na Kitaifa kwa manufaaa ya ulinzi na Usalama wa Albino wote.


Hatua zingine za ziada za muda mfupi na mrefu ni uwepo wa program ya mafunzo maalum kwa Albino wa Jijini Dar es Salaam ili wapate mafunzo kupitia dhana ya

Polisi Jamii na Ulinzi Shirikishi kwa lengo la kupata uelewa wwa kutosha ili nao pia washiriki na kujua namna ya kutoa taarifa kwa lengo la kujikinga na maadui wao ambao wamegubikwa na tama za kujipatia mali, madaraka n.k. kwa njia za ushirikina.

Article 1

$
0
0

WANANCHI  wa KIJIJI CHA MADINDO MLANGALI LUDEWA WASHIRIKIANA NA MBUNGE WAO KUJENGA MRADI WA MAJI WA MILIONI 15 

Diwani wa kata ya  Mlangali Faraja Mlelwa akisaidia  kukunja nguo kwa ajili ya kumwongeza mbunge Filikunjombe kata kichwani huku mbunge huyo akiwa na  wanawake wakiwa na ndoo za maji kichwani

Mbunge Filikunjombe akishiriki kuchimba mfereji  wa maji kijiji cha Madindo
katibu wa  mbunge Filikunjombe Bw Stan Gowele kulia 
Mbunge Filikunjombe akishiriki kushusha tanki katika  lori na  wapiga kura wake tenki kwa ajili ya mradi wa maji kijiji cha Madindo
Mbunge  wa   jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe  kulia akishiriki kujenga mradi wa maji kijiji cha Madindo  Ludewa
Mbunge  Filikunjombe  kulia akishiriki  kuunganisha bomba la maji katika tanki
Wananchi  wa madindo wakishirikiana na mbunge wao Filikunjombe kukamilisha mradi wa maji

Diwani  wa kata ya Mlangali kushoto na katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Njombe  wakijumuika na wanawake wa  kijiji cha madindo kucheza kwa furaha baada ya mradi huo kukamilika ,kulia ni mbunge Filikunjombe akishuhudia
Diwani wa kata ya  Mlangali Faraja Mlelwa akisaidia  kukunja nguo kwa ajili ya kumwongeza mbunge Filikunjombe kata kichwani huku mbunge huyo akiwa na  wanawake wakiwa na ndoo za maji kichwani
Mwenyekiti wa  kijiji na  wananchi wa Madindo  wakimwongoza mbunge Filikunjombe katikati kwenda kutazama chanzo cha maji yanayotumika kijiji cha Madindo
Mbunge Filikunjombe akielekea  kutazama  chanzo cha maji kijiji cha madindo
Hiki ndicho chanzo cha maji ambacho wananchi wa Madindo hukitumia
Mbunge  Filikunjombe akiongoza wananchi na viongozi kupanda  mlima kwa  kukimbia mbio ili  kuelekea  kuzindua mradi wa maji
Diwani wa kata ya Mlangali Faraja Mlelwa (chadema) akimpongeza  mbunge Deo Filikunjombe (CCM) kwa jitihada zake za  kimaendeleo jimboni kwa  kumpa zawadi ya  pombe aina ya Ulanzi kama  sehemu ya  utamaduni wa  wana Ludewa
                                                          Na  Francisgodwinblog

WANANCHI wa Kigongoji cha Madindo kijiji cha Mlangali kata ya Mlangali  wilaya ya Ludewa kwa kushirikiana na mbunge  wao Deo Filikunjombe (CCM ) na diwani wao wa kata ya  Faraja Mlelwa wakamilisha mradi wa maji wa  milioni 15 badala ya milioni 87 za Halmashauri ya Ludewa
Kukamilika kwa mradi huo kwa gharama ya Tsh milioni 15 kumeokoa fedha za Halmashauri kiasi cha Tsh milioni 65 ambazo Halmashauri ya  wilaya ya  Ludewa ilikuwa ikizitafuta  ili kupeleka maji kwa wananchi hao.

Hatua  ya  wananchi hao  kujitolea  nguvu  zao kuanzisha   mradi huo  ilikuja baada ya uongozi wa Halmashauri hiyo  kuendelea  kuwazungusha  juu ya uanzishaji wa mradi huo kwa madai ya Halmashauri kutokuwa na kiasi hicho cha fedha na kuwataka  wavute subira  huku  wao  wakiendelea kutembelea umbali wa km zaidi ya 10 kufuata maji.
Akitoa pongezi zake kwa mbunge diwani wa Kata ya Mlangali kupitia Chama cha DemokrasianaMaendeleo (CHADEMA) amempongezaMbungewaJimbo la Ludewa, DeoFilikunjombe (CCM)  kwajitihadazakezakuletamaendeleokatika  kata  yakenajimbohilo la Ludewa .
Mbunge Filikunjombe akijiandaa kupokea rita ya pombe aina ya ulanzi ili  kushiriki kunywa pombe hiyo na wapiga kura wake 
Hatuayadiwanihuyokutoapongezihizoimekujabaadayambungehuyokutekelezaahadiyakendaniyasiku  14yakukamilishamradiwamajikitongoji cha Madindukijiji  cha Mlangalikwakupelekamatenkiyamajiyavifaavyakumalizahatuazamwishozamradihuo.
“…Nachukua fursahiikukupongezasanawewembungeFilikunjombe, tulikualikaAgosti 5, mwakahuu, ukatuahidinaleohiinaonamatenkiyamajiyamesimikwahapa, lakinipiaumeshirikikuchimbamtaro, hiiinatuonyeshakwambaumetuungamkono, umetusaidia, uondoaileadhailiyokuwainatupatasikuzotehapakijijini,” alisemaMlelwa.
Diwani Mlelwa alisema wananchi wake wakijiji cha Madindu walikuwawanapatashidayakutembeaumbalimrefuwa km zaidiyatanokwendakufuatamajinaviongoziwengi waliokuwepowalikuwawakitoaahadibilautekelezaji.
“InapendezasanatunapokuwatunasimamiaIlani, ziwezilezinazotekelezeka, mbungeametuahidini wiki mojatumeonamatokeoyametokea, lakininapendanisemekuwatunapokuwakwenyeshughulizamaendeleo, itikadizavyamatunaziwekapembeni,” alisemaDiwanihuyo.
Akizungumzanawananchiwakijijihicho, MbungeFilikunjombe ambayealiongozananambungemwenzakeKange Lugola kutoka Jimbo la Mwibalamkoani Mara alimpongeza diwanikwakuwakaribujiraninawananchi  wake nakuwambungewamfanokatikajimbohilo nan je yajimbo.
“Nakupongezasanawewediwaniwa CHADEMA kwakuwamakini kwenye hili, kunifuatamimimbungewa CCM navilevilekumtumiamwenyekitiwakijijikutoka CCM kutekelezaIlaniya CCM kwakutatuakeroyamajiiliyokuwaikiwakabiliwananchiwenu,” alisemaFilikunjombe.
Akizungumza jana nawananchiwakijiji cha Madindo wilayani Ludewa, mkoaniNjombe, FilikunjombealimsifudiwaniFarajaMlelwakwakushirikiananawananchihaonakufanikishamradiwamaji.
“Nawapongezawananchiwote, maanamlifikamahalimlichoka, mkaamuakunipigiasimu, shidainayowakabilihamkungojaserikali, mmeonashidayamajiipo, mkasematuanzesisiwenyewe, lakiniwatuwengiwamekuwawakisemaserikaliitafanya, mpakaviongozi, hilohapana,” alisemaFilikunjombe.
MbungeFilikunjombeambayealiongozananaMbungemwenzakeKangiLugolakutokaMwibalamkoani Marakwenyeuzinduzihuowamradiwamaji, walishirikikuchimbamtarowakupelekamabombakutokakwenyechanzo cha majikilichotegwakwenyechemichemyamajiinayotoka.
“Tuachekunung’unika, kulalamika, kilammojaatimizewajibu wake, mbungeatimizewajibu wake, diwaninayeatimizewajibu wake, nawananchinaowatimizewajibuwao, tukiunganainawezekana,” alisemaFilikunjombe.
Alisema hapendi kuona  wapiga kura  wake wanapata tabu  hivyo ndio  sababu ya  yeye mwenyewe  kulazimika  kushiriki kwa nguvu zote maendeleo  ya kuchimba  mifereji na kuhakikisha mradi huo unaanza  kutoa maji .
Akizungumziafurahayakupatikanamajikwenyekijijichao, mkaziwakijijihicho, YustaMtegaalisemawanashukurumajikuanzakutokakwenyekijijichaoambapoalidaihapoawaliwatotowaowalikuwahawapatimajiyakuoga, nahatanguozaozilikuwazimefubaakwakukosakufuliwa.
“Naushukuruuongoziwetuwotekwakutuleteamaji, alfajiritulikuwatunaamkakufuatamajimtonikwaumbaliwakilomitatano,watotowalikuwawanaendashulenibilakunawa, miguusasainaonekanakutokananamajituliyoyapa,” alisemaMtega.
 Mbunge wa jimbo la Mwibara Kang Lugola akiwa na pombe aina ya ulanzi   huku pembeni mbunge akiwa ameonyesha  kuchoka kutoka na kazi nzito ya  siku nzima mara aliposhiriki kuchimba mifereji ya maji na wapiga kura wake ......................................................................
Mradihuowamajikatikakijiji cha Madindo hivi sasautawezakuhudumiajumlaya kaya 360 zawakaziwakijijihicho.
 
Mwanamke  mkazi wa Madindo akimpongeza mbunge Filikunjombe kwa kasi kubwa ya maendeleo jimboni

Article 0

$
0
0

  VYUO SABA VYA UTALII  NJOMBE NA  IRINGA VYA FUNGWA NA VETA.

MAMLAKA ya mafunzo ya  ufundi stadi Nchini (VETA) Nyanda za Juu kusini,  Imefunga vyuo saba vilivyopo katika mkoa wa Njombe na Iringa kwa kosa la kutokidhi vigezo ukiwemo usajili wa vyuo hivyo.
Ni kufuatia kufanya ziara ya kushitukiza iliyofanywa na Veta.
 Akiongea  na baadhi ya wamiliki na wanafunzi wa vyuo  mratibu wa Veta  nyanda za juu kusini Bw. john Mwanja amesema kuwa kutokana na wimbi la kuanzishwa kwa vyuo  ni vema wazazi wakaanza kufuatilia  usajili wa chuo ili kuepusha hasara ya muda pamoja na fedha pamoja na  vyeti wanavyopata  havitambuliwi na serikali hivyo inawawia vigumu kupata ajira.

 Prosper Mfugale ni Mwandishi wa Habari wa kituo cha Ebony Fm & Clouds Fm akiendelea kufuatilia kwa ukaribu tukio hilo.

 Majengo ya chuo cha Mosemi tawi la Njombe.
 Jengo la chuo cha Musoma Utalii kilichopo eneo la Mgendela Mjini Njombe.
 Moja ya darasa lililopo katika chuo hicho.
 Bw. john Mwanja akiwambia ukweli baadhi ya wanafunzi kuwa wamekuwa wakiibiwa fedha zao na kuwataka kuwaambia na wenzao wenye lengo la kujiunga na chuo.

 Hakuna aliyekuwa na Furaha mara baada kupokea kwa taarifa hiyo.
 Abrubakal Suleiman alisema kuwa yeye ni mkazi wa mjini Iringa alienda Mkoani Njombe Mara baada ya kuona tangazo ambalo halisadifu hali halisi iliyopo chuoni hapo.
 Hili ni jiko lililopo katika moja ya chuo ambacho inasemekana ilikuwa nyumba ya mtu
Mratibu wa vyuo hivyo akiendelea na ukaguzi katika chuo cha Eckross kilichopo sabasaba Mjini Njombe.
        
Akivitaja vyuo hivyo Vilivyofungiwa Mratibu huyo amesema kuwa ni Capricon Collage,Iringa Hotel and Tourism Collage vya Mjini Iringa, Chuo cha Mufindi Tourism Collage cha Mufindi, na Njombe ni Mosemi Collage, Musoma Utalii, Hokaido VTC  na Eckross Collage.

Katika hatua Nyingine aliwataka wazazi makini wanawapeleka watoto wao chuo cha kati kuwa kuangalia usajili wa vyuo hivyo na kuzitaja sifa ambazo za chuo kilichosajiliwa amesema kuwa ni pamoja na  Majengo  na vifaa vitakavyowasaidia wanafunzi kufanya kazi jambo ambalo limekuwa ni tatizo kwa vyuo vingi vilivyokosa sifa ya usajili.
 

Article 3

$
0
0

Real Madrid Legends yainyuka Tanzania 3-1

 Rais Jakaya kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Tanzania 11
 Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Real Madrid Legends.
 Luis Figo (kushoto), akiruka juu kupiga mpira wa kichwa.
 Hekaheka langoni mwa Tanzania.
 Mohamed Mwameja akiwa ameshika kiuno baada ya kufungwa goli la kwanza.

 Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na kocha Msaidizi wa Tanzania 11, Jamhuri Kiwhelo 'Julio' mara baada ya mchezo.
 Kiungo wa timu ya Real Madrid Legends, Christian Karembeu akichukua picha ya kumbukumbu na Rais Jakaya Kikwete.

 
Nzuri sana........
Mfunga wa mabao ya timu ya Real Madrid, Reuben akipokea mpira baada ya kupiga 'hat trick' katika mchezo huo.
Beki wa timu ya Tanzania 11, Shadrack Nsajigwa akichuana na mshambuliaji wa Real Madriad Legends, Luis Figo wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa timu ya Real Madriad Legends, Luis Figo akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania 11 wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa timu ya Real Madriad Legends, Luis Figo akimiliki mpira mbele ya beki wa Tanzania 11, Shadrack Nsajigwa wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. 
Rais Jakaya Kikwete akikabidhi kombe kwa mchezaji wa Real Madriad Legends baada ya kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Tanzania 11 katika mchezo maalum wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)


 Benchi la ufundi la Tanzania 11
 Luis Figo akisalimiana na wachezaji wa Tanzania 11.

 Peter Manyika akisalimiana na Luis Figo.

Article 2

$
0
0

MWIGULU AMSIMIKA KAMANDA WA UVCCM MKOA WA IRINGA

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA, MH. MWIGULU NCHEMBA AKIMSIMIKA KAMANDA WA UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM), MKOANI IRINGA SALIM ASAS, KATIKA VIWANJA VYA MWEMBETOGWA..
MWENYEKITI WA UVCCM MKOANI IRINGA, TUMAINI MSOWOYA NA MWENYEKITI MWENZAKE WA MKOA WA KATAVI, WILLIAM MBOGO WAKIJADILI JAMBO WAKAZI WA ZOEZI LA KUMSIMIKA KAMANDA WA UVCCM IRINGA SALIM ABRI
VIONGOZI WA UVCCM KUTOKA MIKOA MBALI MBALI WALIKUWEPO..ILIKUWA BURUDAAANI1...
MWENYEKITI WA UVCCM MKOANI IRINGA TUMAINI MSOWOYA KIBIKI, MWENYEKITI WA UVCCM MKOANI KATAVI, WILLIAM MBONGO NA KATIBU WA UVCCM WILAYANI MUFINDI KANTALA, MAMBO YALIKUWA YAKIENDA SAWIA WAKATI KAMANDA ASAS AKIAPISHWA
KATIBU WA UWT MANISPAA YA IRINGA CHIKU MASANJA NA MNEC WA MBEYA JIJI WAKILI, SAMBWE SHITAMBALA NDANI YA VIWANJA VYA MWEMBETOGWA KUSHUHUDIA SALIM ASAS, KAMANDA WA UVCCM MKOA WA IRINGA AKISIMIKWA RASMI 
MH MWIGULU NCHEMBA, NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA, AKISAINI KITABU CHA WAGENI KWENYE OFISI YA CCM MKOA WA IRINGA....KABLA YA KUANZA SHUGHULI RASMI...
KAMANDA ASAS AKIWA MAKINI KUSIKILIZA KINACHOJILI MKUTANONI
SAFARI NI SAFARI...TUNAENDA ENEO LA MKUTANO..WA KWANZA KUSHOTO; TULA TWEVE MJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI UVCCM MKOA WA IRINGA

PICHA ZOTE NA FRANK KIBIKI
KAMANDA WA UVCCM MKOA WA IRINGA, SALIM ABRI  AMEAPISHWA RASMI KUANZA KAZI YAKE YA UKAMANDA IKIWA NI KIPINDI CHA TATU KUANZA KUTUMIKIA NAFASI HIYO.
 
VIJANA WANAMPENDA SALIM ASA KUTOKANA NA UTU WAKE, MAPENZI YAKE YA DHATI KWA CCM, UPENDO WAKE, USHAURI, UALIMU NA ULEZI WAKE USIOJALI ITIKADI, RANGI, DINI, KABILI, MASKINI WALA MATAJIRI..
UDUMU SALIMU ASAS1
 
Kwa Hisani ya Francis Godwin blog

Article 1

$
0
0

WANANCHI LUVUYO NA MBUNGE WAJENGA BARABARA YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 52

Wananchi wa  kijiji  cha Luvuyo kata ya Madope  wakimpokea  mbunge wao Deo Filikunjombe kwa maandamano
Wanachama  wa  chama  cha mapinduzi (CCM)   pamoja na  wananchi wa  kijiji cha Luvuyo kata ya Madope  wakishirikiana jana na mbunge  wao Deo Filikunjombe  (kushoto) kuchimba mifereji ya  maji katika barabara ya Luvuyo - Njombe  yenye urefu wa Kilomita 6 ambayo inajengwa kwa  ufadhili wa mbunge huyo kwa kiasi cha zaidi ya Tsh milioni 50
Wananchi wa  Luvuyo wakimsikiliza  mbunge  wao Deo Filikunjombea
Mbunge wa  jimbo la Ludewa akiwahutubia  wananchi wa Luvuyo mara  baada ya  kuzindua  ujenzi wa barabara ya Luvuyo - Njombe
Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa  Deo Filikunjombe akisafirishwa katika  katika mkokoteni waw  kukokotwa na  ng'ombe  baada ya  wananchi  wa  kijiji  cha Luvuyo kata ya Madope  ambao awali  walitishia  kuhama  wilaya ya  Ludewa  kuhamia Njombe kusikilizwa  kilio  chao  cha ubovu wa  miundo mbinu kwa  kuanza kujengewa barabara na  mbunge   huyo


WANANCHI wa kijiji cha Luvuyo kata ya Madope wilaya ya Ludewa mkoani Njombe ambao awali walitaka kuhamia wilaya ya Njombe kutokana na Halmashauri ya wilaya ya Ludewa kuwatelekezea barabara ya Luvuyo – Njombe wamempongeza mbunge wao Deo Filikunjombe kwa kuwajengea barabara hiyo na kubadili uamuzi wao wa kuhamia Njombe. 

 Wakizungumzakatika hafla ya mbunge Filikunjombe kuzindua ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilometa zaidi ya 6 inayojengwa kwa zaidi ya milioni 52 ,walisema kuwa awali walipata kuandika barua katika uongozi wa Halmashauri hadi kwa waziri mkuu wakiomba kuhamia wilaya ya Njombe kutoka na kijji hicho kuwa kama kisiwa kutokana na ubovu wa barabara . 

Mmoja kati ya wananchi hao Apudencia Lugome alisema kuwa wananchi hao walifikia hatua ya kuandika barua ya kutaka kijiji hicho kuwa sehemu ya wilaya ya Njombe kutokana na viongozi wa wilaya ya Ludewa kushindwa kuwatekelezea maombi yao ya ukarabati wa barabara ya kijiji hicho toka nchi ipate uhuru Kwani alisema kuwa mbali ya kujengwa kwa barabara ya Njombe – Ludewa ila wao katika kijiji hicho barabara hiyo ilikuwa si msaada kwao zaidi ya ile ya Luvuyo – Njombe ambayo hutumia kusafirisha mazao yao na ni tegemeo katika usafiri hivyo kitendo cha Halmashauri ya Ludewa kupuuza kilio chao ni kuwafanya wananchi hao kujisikia kama wapo katika kisiwa . 

 Hivyo alisema hatua kutoka na hali hiyo wao wenyewe wananchi walilazimika kuchangishana fedha kiasi cha Tsh 50,00 kila mmoja na kupata kiasi cha Tsh milioni 3.6 kwa ajili ya kuanza kutengeneza maeneo korofi kabla ya mbunge wao kufika katika mkutano wake na kuamua kuchukua jukumu ya kujitolea kujenga barabara hiyo yote . 

 “Tunashukuru sana mheshimiwa mbunge wetu na jembe kwa wana Ludewa kwani toka nchi yetu ipate uhuru Ludewa hatujapata kuwa na mbunge makini kama wewe hivyo hatuna sababu ya kuhangaika na mtu mwingine mwaka 2015….kwani mwenye kutatua kero zetu zaidi yako hakuna “ 

Huku diwani wa kata hiyo Godfrid Mhagama wa kata ya Madope akieleza kuwa sababu ya wananchi hao kufanya maandamano na kumpokea kwa usafiri wa ng’ombe ni kutokana na heshima kubwa ambayo mbunge huyo ameionyesha kwao wana kata ya Madope hasa wananchi wa kijiji cha Luvuyo . 

 Alisema kuwa barabara hiyo imekuwa kero kiasi cha wananchi hao kuwakimbiza watendaji wa Halmashauri ambao walifika katika kijiji hicho kwa ajili ya kuhamasisha shughuli za kimaendeleo.

 “Kweli suala hili kwetu limetuumiza sana kichwa ilifika sehemu wakuu wa idara walikuwa hawafiki katika kijiji hiki kutokana na wananchi kuwa na jazba iliyotokana na ubovu wa miundo mbinu na ahadi zisizotekelezeka za Halmashauri yetu” 

Katibu wa itikadi na uenezi CCM mkoa wa Njombe Onolatus Mgaya mbali ya kumpongeza mbunge huyo na wananchi kwa kuunganisha nguvu zao bado aliwataka wananchi hao kutunza barabara hiyo ambayo kukamilika kwake ni ukombozi mkubwa kwao . 

Alisema kuwa wapo baadhi ya viongozi wamekuwa wakiangalia misaada inayotolewa na Mbunge huyo kwa macho matatu ambapo baadhi hujikuta wakiiba na kufanya ni mali yao binafsi kitu ambacho si kizuri bali wananchi washirikiane na viongozi hao kuhakikisha wanailinda na kuisimamia misaada wanayopewa iliiweze kuwanufaisha wote 

 “…Nampongeza sana Mbunge kwa misaada mbali mbali aliyotoa kwa wananchi wake kwani amejitahidi kuweza kutatua kero mbali mbali zinazowasumbua wananchi katika sekta ya afya, elimu ,m iundombinu na kilimo, naomba tuitunze na itumiwe na wananchi wote,"alisema Mgaya

 Huku Filikunjombea mbali ya kuzindua ujenzi wa barabara hiyo pia alikabidhi msaada wa bati 200 ya geji 28 mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wwa nyumba ya mganga wa Zahanati ya Luvuyo na ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya msingi katika shule za msingi kijijini hapo pia toroli na spendi kwa ajili ya kikundi cha vijana wanaojishughulisha na uoteshaji miti kijijini hapo bado aliwataka kuendeleza umoja zaidi . 

Kwani alisema iwapo wananchi hao wataendelea kujitolea zaidi yeye kama mbunge wao atazidi kuwwaunga mkono na kuwahakikishia kuwa kamwe hatawaangusha katika utendaji kazi wake na kuwa siku zote anaamini kuwa mwwajiri wake ni mpiga kura na si vinginevyo. 

 " Ndugu zangu wana Luvuyo nawapenda sana baada ya kuja wiki iliyopita hapa na kufanya mkutano kweli nilivutiwa sana na jitihada zenu ndio maana nilikubali kuwasaidia kujenga badaraba hii kwa zaidi ya Tsh milioni 52 ila nawahakikishia fedha hizi hazijatoka mfukoni mwangu ila kutokana na kuishi na watu vema nimewaomba mitambo nja mafuta ya kuja kusaidia ujenzi huu baada ya kuvutika na jitihada zenu"

Article 0

$
0
0

MAPOKEZI YA MSHINDI WA INSHA SADC YAFUNIKA NABOTI SEC MAKAMBAKO

 Neema Steven Mtwanga(16)  (kulia) akipokelewa katika hoteli ya triple J ya mjini makambako sehemu ambayo yalianzia maandamano kuelekea Shule ya Naboti.
 alipokelewa kwa mabango ambayo wabebaji wake walijawa na nyuso za furaha.


 Maandamo kuelekea shuleni hapo

Picha zote na James Festo.

Article 2

$
0
0

TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI KATA YA KING'ONGO,DAR

 Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa King'ongo, Demetrius Mapesi (kulia),akimtwisha ndoo ya maji Radhia Said baada ya kuzindua mradi wa kisima cha maji mwishoni mwa wiki kilichojengwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika Kata ya King'ongo, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kisima hicho kimejengwa kwa msaada wa TBL. Kushoto ni Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni, Joseph Nicholaus
 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni, Joseph Nicholaus (kushoto) na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa King'ongo, Demetrius Mapesi wakifunua pazia ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kisika cha maji kiolichojengwa kwa gharama ya sh. mil. 29  kwa msaada wa TBL katika Kata ya King'ongo, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam. Wanaopiga makofi ni wananchi wa eneo hilo wakionekana kufurahishwa na msaada huo muhimu kwani wataondokana na tatizo la maji ambapo walikuwa wakitembea zaidi ya KM 2 kununua maji ndoo moja sh. 700. Katika Kisima hicho watakuwa wananunua ndoo moja ya maji kwa sh. 50.
 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni, Joseph Nicholaus, akifungua maji kwenye bomba lililounganishwa kwenye kisima hicho. Kisima hicho kina uwezo wa  kutoa zaidi ya lita 5000 za maji kwa saa. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni, Joseph Nicholaus (kushoto), akimtwisha Cecilia Dominic ndoo ya maji baada ya kuzindua mradi wa kisima cha maji katika Kata ya King'ongo, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kisima hicho kimejengwa kwa msaada wa TBL.
  Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni, Joseph Nicholaus (kushoto), akimtwisha Rehema Mohamed  ndoo ya maji baada ya kuzindua mradi wa kisima cha maji katika Kata ya King'ongo, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kisima hicho kimejengwa kwa msaada wa TBL.
 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni, Joseph Nicholaus (kushoto), akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa akina mama wa Kata hiyo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya MO Resources Ltd, Onesmo Sigalla 9kushoto) akimkabidhi kufuli na funguo pamoja na nyaraka zinginezo za kisima hicho, Meneja Mauzo wa TBL, Kanda ya Kinondoni, Joseph Nicholas ambaye pia alimkabidhi Mwenyekiti Mwenyekiti wa Serikali ya Mataa wa King'ongo, Mapesi (kulia). Kampuni hiyo ndiyo iliyopewa tenda ya kujenga kisima hicho.
 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni, Joseph Nicholaus (wa pili kushoto), akipongezwa na mwananchi wa kata hiyo, Abdalah Mangosongo kwa msaada huo wa TBL.
Ofisa Uhusiano wa TBL, Dorris Malulu (kushoto), akizungumza wakati wa makabidhiano hayo, ambapo alisema kuwa TBL, mwaka huu imetenga sh. mil. 700 kwa ajili ya kuisaidia jamii nchini kuboresha sekta ya maji.
KWA hisani ya jiachieblog

Article 1

$
0
0

KINANA AKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI TANZANIA


 Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ( TUCTA )Nicholaus Mgaya akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipowasili kwenye Makao Makuu ya TUCTA kwa mazungumzo na Viongozi wa vyama vya wafanyakazi.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Wanawake,Jinsia na Watoto (TUCTA) Siham Ahmed kabla ya kuanza kwa mazungumzo baina ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi.
  Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ( TUCTA )Nicholaus Mgaya akizungumza wakati wa kikao cha Viongozi wa vyama vya Wafanyakazi na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye ukumbi wa mikutano TUCTA.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumzwa kwenye kikao na Viongozi wa Vyama Vya Wafanyakazi Tanzania.
 Sehemu ya Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi Tanzania wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU) Erasto Kihwele akichangia jambo wakati wa kikao hicho.(Picha na Adam H.Mzee)

Article 0

$
0
0

SEKONDARI YA MAKETE GIRLS YATII MAAGIZO YA MKUU WA WILAYA

 Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wanafunzi wa Makete Girls Sekondari (hawapo Pichani) na pia kutoa maagizo kwa uongozi wa shule.

Shule ya sekondari ya wasichana (Makete Girl's) imetii agizo la mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro la kutaka wanafunzi hao wapewe uji mara baada ya vipindi viwili vya asubuhi badala ya saa nne agizo alilolitoa Agosti 8 mwaka huu

Hali kadhalika mkuu huyo aliagiza wapewe chakula cha mchana saa saba ili kuweka uwiano mzuri wa muda wanaokula wanafunzi hao wawapo shuleni hapo

 Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa shule hiyo.
Mwandishi wetu aliyefika shuleni hapo ijumaa ya Agosti 22, ameshuhudia maagizo hayo yakitekelezwa jambo ambalo limepongezwa kwa kiasi kikubwa na wanafunzi hao

"Ni kweli tumeshuhudia ratiba ya chakula ikibadilika kama alivyoagiza mkuu wa wilaya aliyokuja hapa shuleni, na kweli tunaona ni afadhali na tutajisomea vizuri na limetekelezwa mara tu alivyoagiza hivyo naupongeza uongozi wa shule kwa kutekeleza hilo" alisikika akisema mwanafunzi mmoja

Katika hatua nyingine shirika la sumasesu limetoa elimu ya ujinsia kwa wanafunzi hao na kuwataka kujiepusha na vitendo vya ngono ilihali wao ni wanafunzi ili waweze kufikia malengo yao
Rai hiyo imetolewa na Bi Anifa Mwakitalima na kusema kuwa wao ni wanafunzi wa kwanza katika shule hiyo na wanategemewa kufaulu na kuweka sifa nzuri kwa wilaya, hivyo itakuwa nia aibu kubwa kwa mwanafunzi kuweka historia ya kuwa mwanafunzi wa kwanza kusoma katika shule hiyo na pia akawa wa kwanza kupata mimba na kufukuzwa shule

"Ninani anayependa awe wa kwanza kupata mimba na kuandika historia mbaya kwa shule? bila shaka hakuna, wadogo zangu nawaomba mzingatie masomo achaneni na ngono kabisa muda wenu bado, huu ni muda wa kusoma" alisema Mwakitalima
Kwa upande wake Faustine Mwenda amewataka wanafunzi hao kujitambua kuwa wamepelekwa shuleni kwa ajili ya kusoma hivyo wajisomee na watafaulu vizuri hivyo kujijenge amsingi mzuri wa maisha pasipo kupata shida

Amesema mafanikio yao yanajengwa na wao wenyewe hivyo endapo wataonesha uzembe wa kupuuzia masomo ni dhahiri kwamba wataharibu malengo yao, hivyo wanatakiwa kushika elimu na si mambo mengine yanayoweza kuwasababisha wasifikie malengo yao ikiwemo kupata ujauzito.
Makete girls ni sekondari pekee na ni mpya ya wasichana iliyoanzishwa mapema mwaka huu wilayani hapo ambapo kwa sasa ina jumla ya wanafunzi 36

Na Edwin Moshi, Makete.

Article 2

$
0
0
Ndg. Ali Siwa ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda
Viewing all 2276 articles
Browse latest View live




Latest Images